ndondi > Habari

Uchambuzi: Vitu Vitano Alivyosema Mwakinyo Baada Ya Kumpiga Mfilipino

DAR ES SALAAM, Tanzania- Bondia Hassan Mwakinyo amefanikiwa kushinda kwa pointi kwenye pambano lake la kimataifa alilipigana dhidi ya mkali kutoka nchini Uphilipino, Arnel Tinampay. ...

Amekaa: Mwakinyo Amkalisha Mfilipino Kwa Pointi Uwanja Wa Uhuru

Amekaa: Mwakinyo Amkalisha Mfilipino Kwa Pointi Uwanja Wa Uhuru

DAR ES SALAAM, Tanzania- Bondia Hassan Mwakinyo ambaye anadhaminiwa na kampuni bora kabisa ya michezo ya kubashiri ya SportPesa amefanikiwa kumfinyanga Mphilipino, Arnel Tinampay kwenye pambano la kimataifa la kirafiki ...

Usiku Wa Vitasa: Mwakinyo Kumaliza Ubishi Mbele Ya Mfilipino Leo?

Usiku Wa Vitasa: Mwakinyo Kumaliza Ubishi Mbele Ya Mfilipino Leo?

DAR ES SALAAM, Tanzania- Leo ndiyo leo asemaye kesho muongo! siku ambayo ilikuwa ikisubiriwa kwa hamu na Watanzania wote duniani kutaka kumshuhudia kijana wakitanzania Hassan Mwakinyo akitupa masumbwi dhidi ya Mphilipino, Arnel Tinampay imefika. ...

Kaanza Kuogopa?: Kisa Kuzidiwa Uzito, Mfilipino Atishia Kugoma Kuzichapa Na Mwakinyo

Kaanza Kuogopa?: Kisa Kuzidiwa Uzito, Mfilipino Atishia Kugoma Kuzichapa Na Mwakinyo

DAR ES SALALAAM, Tanzania- Ikiwa zimebaki saa chache kabla ya pambano, bondia raia wa Philipino, Arnel Tinampay ametishia kugoma kupanda ulingo kama endapo mpinzani wake Hassan Mwakinyo hatopunguza uzito ambao umezidi mwilini kwake. ...

Ndondi: Hassan Mwakinyo Aahidi Kutoa Dozi Nene Kwa Mfilipino

Ndondi: Hassan Mwakinyo Aahidi Kutoa Dozi Nene Kwa Mfilipino

DAR ES SALAAM,Tanzania- Baada ya tambo za kipindi kirefu hatimaye mabondia Mtanzania, Hassan Mwakinyo na Mfilipino, Arnel Tinampay wamekutana leo kwa mara ya kwanza kwa ajili ya kulizingumzia pambano lao la Novemba 29. ...

Ndondi: Hassan Mwakinyo Apania Kumpiga Mfilipino Kwa KO

Ndondi: Hassan Mwakinyo Apania Kumpiga Mfilipino Kwa KO

DAR ES SALAAM, Tanzania- Bondia namba moja uzito wa kati Afrika Hassani Mwakinyo, amesema maandalizi yake kueleke pambano la Novemba 29 dhidi ya Mphilipino, Arnel Tinampay yanakwenda vizuri na unauhakika wa ushindi wa KO. ...

Ndondi: Mwakinyo Uso Kwa Uso na Mfilipino Novemba 29

Ndondi: Mwakinyo Uso Kwa Uso na Mfilipino Novemba 29

DAR ES SALAAM, Tanzania -Bondia namba moja wa uzito wa kati Tanzania Hassani Mwakinyo, anatarajia kupanda ulingoni Novemba 29 mwaka huu kupambana na Arnel Tinampay kutoka Phillippines. ...

Ndondi: Tyson Furry Ageukia Kwenye Mieleka, Sasa Kuzichapa Na Braun Strowman

Ndondi: Tyson Furry Ageukia Kwenye Mieleka, Sasa Kuzichapa Na Braun Strowman

RIADH, Saudi Arabia- Bingwa wa zamani wa masumbwi ya uzito wa juu duniani Tyson Furry anatarajia kupanda ulingoni Oktoba 31, mwaka huu kuzichapa dhidi ya Braun Strowman kwenye ulingo wa mieleka ...

Ndondi: Hassan Mwakinyo Kupanda Ulingoni Oktoba 26

Ndondi: Hassan Mwakinyo Kupanda Ulingoni Oktoba 26

...

Loading more Loading More