soka > Habari

Ligi Kuu Bara: Azam Kuendeleza Moto Leo Dhidi Ya Wapiga Kwata JKT Tanzania?

DAR ES SALAAM, Tanzania- Leo ligi kuu bara inaendelea tena kwa mchezo mmoja kupigwa kwenye dimba la Azam Complex ambapo wenyeji Azam FC watawaalika wapiga kwata wa JKT Tanzania. ...

Mida Ya Kubeti: Arsenal Ndani Ya Maisha Mapya Kukabiliana Na Norwich Ugenini Leo

Mida Ya Kubeti: Arsenal Ndani Ya Maisha Mapya Kukabiliana Na Norwich Ugenini Leo

NORWICH, Uingereza- Siku mbili baada ya kumtupia virago kocha wao Unai Emery, Arsenal leo wanashuka kwenye dimba la ugenini kuchezo dhidi ya Norwich City kwenye mchezo wa 14 wa ligi kuu ya Uingereza. ...

Euro 2020: Hatumwi Mtoto Dukani Kundi F: Ureno, Ujerumani, Ufaransa Uso Kwa Uso

Euro 2020: Hatumwi Mtoto Dukani Kundi F: Ureno, Ujerumani, Ufaransa Uso Kwa Uso

NYON, Uswiz- Shirikisho la Mpira wa Miguu barani Ulaya, EUFA wameweka hadharani makundi kwa ajili y michuano ya Euro 2020 ambapo mabingwa wa dunia Ufaransa wamejikuta ndani ya kundi moja la F dhidi ya mabingwa wa ulaya Ureno. ...

La Liga: Sergio Ramos Aipeleka Real Madrid Kileleni Kwa Kuifunga Alaves

La Liga: Sergio Ramos Aipeleka Real Madrid Kileleni Kwa Kuifunga Alaves

MADRID, Hispania- Nahodha wa Real Madrid, Sergio Ramos amefunga bao moja ambalo limeiwezesha timu yake ya kuibuka na ushindi wa 2-1 ugenini dhidi ya Alaves. ...

Spurs Ya Mourinho Yazidi Kuchuma Pointi EPL, Liverpool Hawafungiki

Spurs Ya Mourinho Yazidi Kuchuma Pointi EPL, Liverpool Hawafungiki

LONDON, Uingereza- Kocha Jose Mourinho ameiongoza Tottenham Hotspurs kwenye ushindi wa tatu mfululizo kwenye michuano yote baada ya kuwafunga Bournemouth kwa mabao 3-2 kwenye mchezo uliofanyika nyumbani White Hart Lane. ...

Dokezo: Maisha Ya Unai Emery Ndani Ya Arsenal Kwenye Namba

Dokezo: Maisha Ya Unai Emery Ndani Ya Arsenal Kwenye Namba

LONDON, Uingereza- Baada ya Unai Emery kutimuliwa na Arsenal SportPesa News inakuletea dokezo ambalo linaonesha maisha yake kwa ujumla yakiwa ndani ya namba kwa kipindi cha miezi 18 aliyoishi London. ...

EPL: Chelsea Wakumbana na Kipigo Darajani Kutoka Kwa West Ham, Man City Wakikabwa Koo Ugenini

EPL: Chelsea Wakumbana na Kipigo Darajani Kutoka Kwa West Ham, Man City Wakikabwa Koo Ugenini

LONDON, Uingereza- Klabu ya Chelsea wameshindwa kuutumia vizuri uwanja wao wa nyumbani wa Stamford Bridge baada ya kukubali kichapo cha bao 1-0 kutoka kwa majirani zao timu ya West Ham United kwenye "London Derby". ...

Yametimia: Patrick Aussems Atupiwa Virago, Denis Kitambi Apewa Mikoba

Yametimia: Patrick Aussems Atupiwa Virago, Denis Kitambi Apewa Mikoba

DAR ES SALAAM, Tanzania- Baada ya fununu za takribani wiki mbili hatimaye klabu ya Simba rasmi imeamua kuvunja mkataba na kocha raia wa Ubelgiji, Patrick Aussems ambaye amedumu klabuni hapo kwa msimu moja na nusu. ...

Muda Wa Mikeka: EPL Kuondoka Na Vichwa Vya Makocha Wawili Wikiendi Hii?

Muda Wa Mikeka: EPL Kuondoka Na Vichwa Vya Makocha Wawili Wikiendi Hii?

LONDON, Uingereza- Ligi kuu ya soka ya Uingereza inaendelea kwa mechi sita kupigwa kwenye viwanja tofauti ambapo vigogo 12 vitashuka kugombea alama 3 muhimu. ...

Uchambuzi: Makocha 5 Wenye Nafasi Ya Kurithi Kibarua Cha Unai Emery Arsenal

Uchambuzi: Makocha 5 Wenye Nafasi Ya Kurithi Kibarua Cha Unai Emery Arsenal

LONDON, Uingereza- Baada ya klabu ya Arsenal kuamua kuachana na kocha Unai Emery aliyedumu kwenye timu hiyo kwa miezi 18. Habari sasa zimegeukia upande wa kutafuta warithi ambao watakaoshika nafasi ndani ya timu hiyo. ...

Uchambuzi: Nini Kimekwenda Tofauti Kwa Unai Emery Ndani Ya Arsenal?

Uchambuzi: Nini Kimekwenda Tofauti Kwa Unai Emery Ndani Ya Arsenal?

LONDON, Uingereza- Hayawi Hayawi, Sasa Yamekuwa! Kocha Unai Emery ameoeneshwa mlango wa kutokea ndani ya kikosi cha Arsenal baada ya kudumu kwenye kazi hiyo kwa kipindi cha miezi 18. ...

Ligi Kuu Bara: Siboma, Molinga Waongeza Kilio Kwa Alliance CCM Kirumba

Ligi Kuu Bara: Siboma, Molinga Waongeza Kilio Kwa Alliance CCM Kirumba

MWANZA, Tanzania- Washambuliaji wa Yanga wa kimataifa Patrick Sibomana na David Molinga wamezidi kung'aa ndani ya kikosi hicho baada ya leo kuiwezesha timu yao kuibuka na ushindi wa 2-1 ugenini dhidi ya Alliance. ...

Kikosi CECAFA: Aishi Manula, Juma Abdul Ndani Erasto Nyoni Nje Timu Ya Taifa

Kikosi CECAFA: Aishi Manula, Juma Abdul Ndani Erasto Nyoni Nje Timu Ya Taifa

DAR ES SALAAM, Tanzania- Kocha wa timu ya taifa ya Tanzania Bara, Kilimanjaro Stars, Etienne Ndayiragije amewataja wachezaji Juma Abdul wa Yanga mlinda lango wa Simba kwenye kikosi chake cha wachezaji 32 ...

Yametimia: Unai Emery Atupiwa Virago Arsenal Baada Ya Miezi 18

Yametimia: Unai Emery Atupiwa Virago Arsenal Baada Ya Miezi 18

LONDON, Uingereza- Klabu ya Arsenal wameamua kuvunja mkataba wao na kocha Unai Emery ikiwa ni siku moja tu tangu timu hiyo ilipopoteza mchezo wa Europa kwa kufungwa 2-1 na Frankfurt ya Ujerumani kwenye dimba la Emirates. ...

Ligi Kuu Bara: Yanga Ya Mkwasa Kuendelea Kuzoa Pointi Mbele Ya Alliance Leo?

Ligi Kuu Bara: Yanga Ya Mkwasa Kuendelea Kuzoa Pointi Mbele Ya Alliance Leo?

MWANZA, Tanzania- Ligi kuu soka Tanzania bara inaendelea leo kwa mchezo mmoja kupigwa ndani ya dimba la CCM Kirumba ambapo Alliance FC watakuwa wenyeji wakiwaalika Yanga ya kutoka jijini Dar es salaam. ...

Loading more Loading More